sw_tn/job/20/23.md

1.1 KiB

Habari za Jumla:

Sofari anaendelea kuzungumza kwa Ayubu.

kulijaza tumbo lake

"kulijaza tumbo lake" inamaanisha kula sana.

Mungu atatupa hasira ya ghadhabu yake juu yake yeye

"katika hasira ya ghadhabu yake" ina maanisha hasira ya Mungu na adhabu yake.Kutupa adhabu juu yake ni kumwadhibu yeye vikali sna. "Mungu atakuwa mwenye hasira na kutupa chini adhabu yake juu yake"au"Mungu atakasirika na kumwadhibu yeye vikali sana"

Mungu ataunyeshea chini juu yake yeye

"Mungu ataisababisha inyeshe chini juu yake." "kunyesha chini juu yake" inawakilisha kusababisha adhabu nyingi kutokea kwa mtu. "Mungu atamwadhibu yeye vikali"

atakimbia kutoka katika silaha ya chuma,

Silaha ya chuma inawakilisha mtu kuibeba yenyewe. "atakimbia kutoka kwa mtu anayebeba silaha ya chuma"

upinde wa shaba utampiga yeye

Upinde unawakilisha mtu anayepiga upinde kwa kutumia upinde. "Mtu mwenye upinde wa shaba atampiga yeye"

ini

Hii ni sehemu yenye muhimu wake mkubwa katika mwili. Ikiwa mtu atapiga upinde kwenye ini, mtu aliyepigwa atakufa.

watesi huja tena juu yake.

Maneno haya yanamwakilisha yeye kwa ghafla anakuwa amefadhaishwa"