sw_tn/job/20/20.md

917 B

Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza;

"Yeye alimeza kila kitu, na hakuna kitu chochote kilichobakia" au"hakuna kitu chochote kilichobakia kwa sababu yeye amemeza kila kitu"

Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza;

"kumeza"kunawakilisha kuchukua vitu kwa ajili yake mwenyewe. "Hakuna chochote ambacho hakukichukuwa kwa ajili yake mwenyewe" au" Yeye alichukua kila kitu kwa ajili yake mwenyewe, na hakuna kitu chochote kilichobakia"

yeye ataanguka katika mahangaiko

"ghafla yeye atapittia mahangaiko"

mkono wa kila mmoja ambaye yuko katika umaskini utakuja kinyume chake yeye.

katika sentensi hii "mkono" unawakilisha nguvu, na "mkono... utakuja dhidi yake" unawakilisha watu kumshambulia yeye. Kielezi cha tendo "umaskini"chaweza kuelezwa pamoja na kivumishi "maskini" "kila mtu aliye katika umaskini atamshambulia yeye" au "kila mtu ambaye ni maskini atamshambulia yeye"