sw_tn/job/20/15.md

1.5 KiB

Habari za Jumla:

Sofari anaendelea kuzungumza kwa Ayubu.

Yeye humeza chini utajiri, lakini yeye atautapika tena; Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake

Sofari anazungumza juu ya kupata au kupoteza utajiri kana kwamba kilikuwa chakula ambacho mtu hula na kukitapika. "Mtu mwovu huwa mwenye mali nyingi lakini hpoteza utajiri wake kama mtu ambaye hukitapika chakula chake yeye. Mungu anamfanya kupoteza vyote"

Yeye humeza chini utajiri,

Maana zaweza kuwa hizi: kujikusanyia utajiri na kuunza kwa ubinafsi. "Mtu mwovu hupata hupata mali nyingi na huutuza wote kwa ajili yake yeyey mwenyewe" au" kujikusanyia mali katika njia za uovu""Mtu mwovu huiba mali nyingi"

Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake yeye.

Katika sentensi hii: tungo: "kuutapika nje ya tumbo lake" ni ishara ya kumsababisha kuvitapika. Hii ni tashbiha inayoelezea kumsababisha mtu kupoteza utajiri wake.

toa

"tupa"

yeye atamumunya sumu ya majoka;

"kumumunya sumu ya majoka" kunawakilisha kufanya vitu viovu. Vyote ni hatari sana. Kufanya vitu viovu ni kuhatarisha maisha yake kama mtu anayemumunya sumu ya majoka"

majoka;

"nyoka wenye sumu kali"

ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.

Swira ni nyoka mwenye sumu kali . Ulimi wake unawakilisha mnga'to wake wenye sumu. Mng'ato wa Swira mwenye sumu unawakilisha mnga'to wake wenye sumu."Mng'ato wa Swira mwenye sumu utamwua yeye" au"Swira atamuuma yeye na yeye atakufa"

ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.

Swira anawakilisha uovu wa mtu. "uovu wake utamwua yeye kama kung'atwa na Swira.