sw_tn/job/20/04.md

845 B

Habari za Jumla:

Sofari anaendelea kuzungumza na Ayubu.

Je, unafahamu kwamba ukweli huu kutoka enzi za kale kwa kitambo?

Sofari anatumia swali hili kumfanya Ayubu afikiri kwa kina kwa kile ambacho sasa atazungumza. "Hakika wewe unafahamu kile ambacho kimekuwa cha kweli tangu siku za mababu....kwa kitambo"

ushindi wa mtu mwovu ni mfupi,

jina dhahania"mshindi" laweza kuelezwa pamoja na vitenzi "ushindi" au "sherehekea." mtu mwovu hushinda kwa muda mfupi tu" au " mtu mwovu husherehekea kwa muda kidogo tu"

na furaha ya mtu asiyemcha Mungu hudumu kwa kitambo tu?

jina dhahania "furaha" laweza kuelezwa pamoja na kitenzi "furahia" au kivumishi "furaha"." Neno "kitambo" ni baragha kusisitiza kuwa muda ni mfupi sana ."mtu asiye mcha Mungu hufurahia kwa kitambo tu" au "mtu asiye mcha Mungu ana furahi kwa muda mfupi sana"