sw_tn/job/20/01.md

1.7 KiB

habari za Jumla:

Sofari anamjibu Ayubu.

Sofari, Mnaamathi

Sofari wa mkoa wa Naamathi

Mawazo yangu yananifanya mimi nijibu kwa haraka

Mawazo ya Sofari kumfanya yeye kutenda jambo ina maanisha shauku yake kubwa kutenda jambo. "Mimi nahitaji sana kukujibu wewe haraka"

kwa sababu ya mashaka yaliyomo ndani yangu mimi.

Jina dhahania "hofu" laweza kuelezwa pamoja na kivumishi "kuhofu"Sababu ya hofu hii yaweza kuelezwa "Kwa sababu mimi naogopeshwa sana na wewe" au "kwa sababu nimeogopeshwa sana na kile ambacho umesema"

Mimi ninasikia kukemewa ambako kunaniondolea heshima mimi

Jina dhahania "kemea" laweza kuelezwa pamoja na kitenzi "kemea." "Mimi ninasikia wewe unanikemea mimi, na kile unachokisema kinaniondolea heshima mimi" au "wewe wanidhalilisha mimi kwa jinsi ambavyo unanikemea mimi"

roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.

katika sentensi hii "roho" inamaanisha fikra au wazo" wazo kutoka katika ufahamu wangu linanijibu mimi"

roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.

"roho" au wazo imesemwa kama vile ilikuwa mtu ambayo inaweza kumjibu Sofari. "Mimi nina wazo kutoka katika ufahamu wangu na sasa Mimi ninafahamu kile ambacho nilihitaji kufahamu"

roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.

yaliyomo katika jibu yanaweza kuelezwa kwa ufasaha. "wazo kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi kuhusu namna nitakavyojibu kwako" au Mimi nina wazo kutoka katika ufahamu wangu , na sasa Mimi ninafahamu namna nitakavyokujibu wewe"

roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.

Kielezi cha jina "roho"chaweza kuelezwa pamoja na kitenzi "fikiri" na "fahamu" Kwa sababu ninavifahamu vitu, Mimi nimefikiri, na sasa Mimi ninafahamu jinsi nitakavyokujibu wewe.