sw_tn/job/19/20.md

1.4 KiB

habari za Jumla:

Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake watatu.

Mifupa yangu inashikamana kwenye ngozi yangu na kwenye mwili wangu;

Ayubu anazungumza juu ya mifupa yake, ngozi na nyama yake kuelezea mwonekano wake.Yeye alikuwa amekonda sana, na watu wangeweza kuona kwa urahisi mifupa yake yeye ilivyo. Lungha zingine zina nahau katika hili. " "Mimi sasa ni ngozi na mifupa" au " ngozi yake inashikamana na mifupa yangu"

Mimi ninaishi tu kwa ngozi ya meno yangu.

Hii nahau inamaanisha kwamba yeye anaishi kwa bahati tu, kuwa yeye karibia haishi."Mimi ninaishi kwa shida"

Iweni na huruma juu yangu mimi,

"muwe na huruma juu yangu"

kwa maana mkono wa Mungu umenigusa mim

Katika sentensi hii neno"alinigusa mimi" ni kiwakilishi cha neno "nipige mimi" Hii ni tashbiha kwa kufanya vitu ambavyo vinasabisha Ayubu ateseke. "kwa sababu Mungu amenitesa mimi"

Kwa nini mnanitesa mimi?

Ayubu anatumia swali hili kulalamika kuhusu jinsi rafiki zake wanavyomtendea yeye. "usinitese mimi....Mungu!"

kwa nini hamjatosheka bado kwa kula mwili wangu?

Ayubu anatumia swali hili kulalamika kuhusu jinsi rafiki zake wanavyomtendea yeye. Ninyi meumeza mwili wangu vya kutosha!" au "Acheni kuumeza mwili wangu mimi"

kwa nini hamjatosheka bado kwa kula mwili wangu?

Ayubu anazungumza juu ya rafiki zake wanaozungumza kwa ukatili kwake yeye kama vile walikuwa wanyama wakali wa porini wanakula wanyama wenzao. "Acheni kunishambulia mimi kwa maneno"