sw_tn/job/19/17.md

912 B

habari za Jumla:

Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake watatu.

Pumzi yangu mimi ni chukizo kwa mke wangu;

Katika sentensi hii neno "pumzi" linawakilisha harufu ya pumzi yake yeye. Kama mtu fulani analaumika kwa mtu mwingine, ina maanisha kwamba yeye anaichukia. "Mke wangu anaichukia harufu ya kinywa changu"

wale ambao walizaliwa kutoka katika tumbo la mama yangu mimi.

Ayubu anamaanisha kaka zake na dada zake kwa njia hii kuonyesha kwamba wao ni watu ambao wanapaswa kumpenda yeye."kaka zangu mimi mwenyewe" au"kaka zangu na dada zangu"

wananichukia mimi;

"kunichukia mimi" au kunitenga mimi"

huzungumza dhidi yangu mimi.

"wao wananikejeli mimi" au" wananicheka mimi"

Rafiki zangu wote

"rafiki zangu wote wa karibu" au"rafiki zangu wote ambao huwaambia mambo yangu ya siri"

huzungumza dhidi yangu mimi

"wamenichukia mimi"

wamegeuka kinyume na mimi.

"wamenisaliti mimi"