sw_tn/job/19/10.md

1.8 KiB

Habari za Jumla:

Ayubu anaendeleza kuzungumza kwa rafiki zake watatu.

Yeye amenivunjavunja mimi chini kwa kila upande,

Ayubu nazungumza juu ya Mungu akimharibu yeye kana kwamba alikuwa jengo ambalo Mungu analiangusha chini. "Yeye ameniharibu mimi kwa njia zote" au amenishambulia mimi katika nia zote"au "amenishambulia mimi katika kila njia"

na Mimi nimetoweka

Kuwa" umekwenda"linawakilisha kuharibiwa kabisa. "na mimi nimeharibiwa kabisa"

yeye amelikokota juu tumaini langu kama mti.

Ayubu anazungumza juu ua Mungu kusababisha Ayubu kukosa tumaini kana kwamba Ayubu alikuwa mti, Mungu ameukokota mti wote na mizizi yake kutoka katika ardhi. ""yeye ametupilia mbali tumaini lake lote"au " kw sababu ya kile ambacho yeye amefanya, Mimi siwezi tena kutumaini kitu chochote kizuri"

yeye pia ameiongeza ghadhabu yake dhidi yangu mimi

Ayubu anazungumza juu ya hasira ya Mungu kana kwamba ilikuwa kama moto. "Mungu pia amemwaga moto wa hasira dhidi yangu mimi" au" Mungu pia amenikasirikia mimi"

yeye ananihesabu mimi kama mmoja wa adui zake.

"yeye anafikiri juu yangu mimi kama adui yake"

Majeshi yake huja juu pamoja;

Ayubu anazungumza juu ya Mungu kumshambulia yeye kana kwamba Ayubu alikuwa mji na Mungu alikuwa anatuma jeshi kushambulia. "Mungu anatuma jeshi lake kunishambulia mimi"

kuniteka nyara kwa kundi kubwa kupigana na mimi

Mungu anazungumza juu ya Mungu kumshambulia yeye kana kwamba Ayubu alikuwa kama ukuta wa mji na jeshi la Mungu lilikuwa likiuangusha vibaya ukuta na kuuteka mji. "wanajeshi walikuwa wakiuharibu vibaya ukuta ili kupanda juu ya ukuta"

wakizunguka hema yangu.

Mungu anazungumza juu ya Mungu kumshambulia yeye kana kwamba Ayubu alikuwa hema yake na jeshi la Mungu likipiga kambi kumzunguka yeye na kujiandaa kumshambulia yeye. "wanapiga kambi kuzunguka hema yangu na kujiandaa kunishambulia mimi"