sw_tn/job/19/05.md

945 B

habari za Jumla:

Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafikiz ake watatu.

Kama ni dhahiri ninyi mtajiinua juu yangu mimi

"Kama mnafikiri ninyi ni bora kuliko mimi" au" Kwa maana mnatenda kana kwammba ninyi ni bora kuliko mimi nilivyo"

na kuutumia uvumilivu wangu kunipinga mimi

"na kudai kuwa uvumilivu wangu ushahidi dhidi yangu" au"na kuutumia uvumilivu wangu kama ushahidi kwamba mimi ni mwenye hatia"

kuutumia uvumilivu wangu kunipinga mimi

Jina dhahania "uvumilivu" laweza kuelezwa pamoja na kitenzi"vumilia". "dai kwamba kile ambacho kimetokea kwangu kinathibitisha kwamba mimi ni mwenye hatia"

amenikamata mimi katika mtego wake yeye.

Ayubu anazungumza kama Mungu alikuwa mwindaji ambaye amemnasa Ayubu katika mtego wake. Tashbiha hii inamwakilisha Mungu akichukua udhibiti wa hisia za Ayubu za kukosa tumaini. "ameninasa mimi" au "amechukua udhibiti wangu mimi" au" anadhibiti kile kinachotokea , hivyo mimi sina msaada"