sw_tn/job/18/18.md

1.6 KiB

habari za Jumla:

Bildadi anaendelea kumwelezea mtu mwovu.

Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu

maneno haya pamoja yanasisitiza ukweli kuwa mtu mwovu atapelekwa kuzimuni, mahali pa waliokufa.

Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza

"Mungu atamfukuza mtu mwovu kutoka kwenye nuru kwenda kwenye giza"

na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.

Sentensi hii inamaanisha Mungu kumfanya yeye aiache nchi na kwenda mahali ambapo watu waliokufa huenda. Na kama vile alikuwa kama akimfukuza yeye" "na M ungu atamfanya yeye kuuacha ulimwengu" au Mungu atampeleka yeye mahali ambapo watu waliokufa huenda"

amefukuzwa nje

"Mungu atamfukuza yeye"

Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.

Kwa pamoja tungo hizi zinasisitiza kuwa yeye hatakuwa na familia au uzao ulioachwa"

mtoto wa mtoto wa kiume

"mjukuu"

uzao

"ndugu"

Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.

Maneno "upande wa magharibi" na "upande wa mashariki" yote kwa pamoja yanamaanisha watu wote wanaoishi kila mahali. Lugha ya kukuza jambo imetumika kila mtu kaitka nchi atasikia kuhusu kile kilichotokea kwa mtu mwovu anayejulikana. "Kila mtu katika ulimwengu atashtushwa na kushangazwa wakati watakapoona kilichotokea kwa mtu mwovu." au"watu wengi wanaoishi upande wa mashariki na upande wa magaharibi watashtushwa na kushangazwa wakati watakapoona kinachotokea kwa mtu mwovu"

siku moja;

"siku fulani"