sw_tn/job/18/16.md

1001 B

Habari za Jumla:

Bildadi anaendelea kumwelezea mtu mwovu.

Mizizi yake itanyauka juu yake ... tawi lake litakatwa.

Sentensi hii inamzungumzia mtu mwovu kufa bila kuwa na uzao kama vile mti ambao mzizi wake umekauka, na matawi kusinyaa na hayatoi matunda. "Yeye atakufa na hataacha uzao, yeye atakuwa kama mti ambao mizizi yake imekauka na ambao matawi yake yote yamenyauka"

tawi lake yeye litakatwa.

""matawi haya yatanyauka"

kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.

Tungo hizi zinabeba maana moja na zimetumiwa pamoja kusisitiza ukweli kwamba hakuna mtu ambaye atamkumbuka yeye baada ya yeye kufa"

Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi

Maneno haya yametafsiriwa hivi: "kumbukumbu" za mtu mwovu kama vile zilikuwa mtu aliyekufa" "Hakuna hata mmoja katika nchi ambaye atamkumbuka yeye"

hatakuwa na jina katika mtaa.

Hii ni ni nahau: "hakuna hata mmoja atembeaye katika mtaa atakayeweza hata kukumbuka jina lake yeye"