sw_tn/job/18/12.md

1.0 KiB

Habari za Jumla:

Bildadi anaendelea kumwelezea mtu mwovu.

Utajiri wake utageuka kuwa njaa,

Maneno haya yanamzungumzia mtu mwovu atakuwa maskini na mwenye njaa kwa kuwa utajiri wake umerudishwa kuwa kitu kingine. "Badala ya kuwa na utajiri, yeye atakuwa maskini na mwenye njaa"

na majanga yatakuwa tayari upande wake.

Maneno "tayari" na kuwa upande wake" ni nahau inayomaanisha kuwa kitu fulani kinaendelea sasa. "na yeye ataendelea kupitia majanga" au "na yeye hataweza kuyaepuka majanga"

sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa

Pia maneno haya yanazungumzia ugonjwa unaoharibu mwili kama vile ulikuwa mnyama ambaye amemshambulia yeye na alikuwa akimla yeye. Ugonjwa utakula pale katika mwili wake" au " Ugonjwa utaharibu ngozi yake"

mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.

Katika sentensi hii ugonjwa umelinganishwa na "mzaliwa wa kwanza wa kifo." Kusema ugonjwa unaoharibu mwili wake kama vile ulikuwa mnyama ambaye amemshambulia yeye na alikuwa akimla yeye. "ugonjwa hatari utaharibu sehemu tofauti tofauti za mwili wake"