sw_tn/job/17/11.md

1.2 KiB

habari za Jumla:

Ayubu anaendelea kuzungumza.

Siku zangu zimepita

Hii ni nahau. "Muda wangu umepita" au "Maisha yangu yamefikia mwisho"

mipango yangu imenyamazishwa

"mipango yangu kamwe haitatokea" au "mipango yangu kamwe haitatimizwa"

na hivyo ni matumaini

Katika sentensi hii "moyo" wa Ayubu unamaaanisha shauku yake kubwa. "Kama kwa vitu ambavyo mimi nimevionea shauku zaidi"

ya moyo wangu

Katika mstari huu Ayubu hakukamilisha maneno yake kuonyesha kuwa hakuwa na tumaini lolote kwa shauku yake. "kwa moyo wangu, hakuna tumaini lolote la hayo kutokea"

Watu hawa, wenye kukejeli,

Hizi ni tungo mbili zinamaanisha watu wale wale wanoitwa rafiki za Ayubu, Elifazi, Bildadi, na Sofari.Tungo ya pili inasisitiza mtazamo wao usio wa kirafiki.

badili usiku kuwa mchana;

Sentensi hii inazungimzia watu wanaodai kuwa usiku ni mchana kama vile kweli wameubadili usiku kuwa mchana."wao wanadai kuwa huu ni muda wa mchana wakati ni usiku" au "kile wanachosema ni kinyume cha ukweli kama vile usiku ulivyo kinyume na mchana"

mchana uko karibu kuwa giza.

"wanadai kuwa nuru iko karibu na giza" au "wanadai kwamba wakati inapokuwa usiku, hiyo inakuwa mchana"