sw_tn/job/17/06.md

1.4 KiB

Habari za Jumla:

Ayubu anaendelea kuzungumza.

amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu;

Sentensi hii ina maanisha kwamba watu wanasema juu yake kwa kumkejeli na kulitumia jina lake kama masimango."kwa sababu yake yeye mwenyewe, watu hutumia jina langu kama masimango" au "kwa sababu yao, watu hutumia jina langu kama neno la kuzungumzwa na watu"

wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.

"watu hunitemea mate usoni pangu" Katika utamaduni huu kumtemea mate mtu usoni ilikuwa ni dhihaka kubwa. "watu hunisimanga mimi sana , kwa kunitemea mate mimi usoni pangu"

jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni;

Mungu nazungumza juu y uoni wake kama "macho yake" "Kuona kwangu kumefifia kwa sababu Mimi nina huzuni sana" au "Mimi ni kipofu kabisa kwa sababu ya huzuni yangu"

sehemu zangu zote za mwili wangu ni nyembamba kama kivuli

Kivuli hakina wembamba.Hii ni lugha iliyokuzwa kwa kuonyesha jinsi gani sehemu za mwili wa Ayubu zilivyokuwa nyembamba.

sehemu zangu zote za mwili

Huu ni mjumuisho uliotumiwa kusisitiza kuwa mwili wake wote ni mwembamba, lakini ina maanisha kwa uwazi zaidi mikono yake na miguu yake. "mikono yangu na miguu yangu"

watashtushwa

"tiwa mshtuko" fadhaishwa"

kwa hiki

"kwa kile ambacho kimetokea kwangu mimi"

atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi

Hii ni nahau. "wata kuwa wametiwa hofu kwa sababu ya" au" wao watakasirihwa sana na"