sw_tn/job/17/01.md

1.7 KiB

habari za Jumla:

Ayubu anaendelea kuzungumza.

Roho yangu imemezwa

Ayubu anajisema yeye mwenyewe kwa "roho" yake kusisitiza juu ya hisia zake za ndani. Anazungumza juu ya kukosa nguvu hata kidogo kama kitu ambacho kimetumika. " Mimi nimemezwa" au "mimi nimepoteza nguvu zangu zote"

siku zangu zimekwisha;

Ayubu anarejea kuhusu maisha yake "kama siku zake" muda wangu umekwisha" au " Mimi ninakwenda kufa hivi karibuni"

kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.

Tungo hii inaeleza "kaburi" kama vile ni mtu ambaye atampokea Ayubu kama mgeni. "nitakufa hivi karibuni na nitazikwa"

Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami

"Wale wanaonizunguka mimi wananidhihaki mimi"

Hakika

"haswa"

ni lazima daima jicho langu litazame

Ayubu anajisema yeye mwenyewe kwa "macho yake" kusisitiza kile ambacho anakiona" Mimi ni lazima daima nione " au "Mimi ni lazima daima nisikie"

kukasirisha kwao

"kusimanga kwao" neno "kukasirisha kwa" laweza kuelezwa kama kitenzi. "wao wananikasirisha mimi" au "wa, wanajaribu kunifanya mimi nikasirike"

Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe;

Hapa Ayubu anaanza kuzungumza na Mungu.Katika Sentensi hii yeye anazungumzia hali yake kama vile alikuwa gerezani. Anamwomba Mungu kutoa msamaha ili ya kwamba yeye aweze kufunguliwa."Mungu, toa sasa msamaha ili kwamba mimi nipate kufunguliwa kutoka katika gereza hili" au " lipa kwa ajili ya kufunguliwa kwangu mimi kutoka gerezani"

nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?

Ayubu anatumia swali hili la kejeli kusisitiza kwamba hakuna mwingine awaye yote wa kumsaidia yeye. Swali hili laweza kuandikwa bila hali ya kuuliza ikasomeka hivi" "hakuna mwingine awaye yote ambaye atanisaidia mimi"