sw_tn/job/16/13.md

1.0 KiB

Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi;

Ayubu anajisema mwenyewe kuwa shabaha ya shambulizi la Mungu ikiwa kama Mungu amemweka yeye shabaha yake na Mungu alikuwa na wapiga upinde wakimzunguka yeye kumshambulia yeye. "ni kama vile wapiga upinde wake wamenizunguka mimi"

Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi

Ayubu anazungumza juu ya maumivu ambayo yeye anajisikia kwa kuyalinganisha na Mungu kuchoma mwili wake yeye kwa upindeambao anaupiga. Hapa "Mungu "anawakilisha upinde umechoma figo na ini langu mimi, na kuimwaga nyongo yangu juu ya ardhi. Yeye hajanihifadhi mimi"

yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta

Ayubu anazungumza juu ya maumivu ambayo anahisi kwa kujilinganisha yeye mwenyewe na ukuta ambao Mungu anapita kukanyagakanyaga." "Mimi ninajisikikia kama ukuta ambao kupitia huo Mungu huvunjavunja"

yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.

Ayubu anamwelezea Mungu kama askari ambaye anamshambulia yeye. "Ni kama shujaa ambaye hukimbia juu yangu kunishambulia"