sw_tn/job/16/09.md

826 B

Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.

Maneno haya yanazungumza juu ya Mungu kumsababishia Ayubu maumivu kama vile alikuwa mnyama wa porini na Ayubu alikuwa kama mawindo yake alikuwa akiua. Kwa sababu Mungu ana hasira kali na mimi, ni kama vile alikuwa mnyama wa mwituni ambaye anararua mwili wangu vipande vipande kwa meno yake kwa sababu alikuwa adui yangu"

Adui yangu

Sentensi hii inarejea kwa Mungu kama "adui"yake. Inaeleza jinsi yeyey alivyomsababishia yeye maumivu makali.

amenikazia macho yake juu yangu

Hii ni nahau."ananitazama mimi kwa hasira"

Watu wameachama na midomo iliyowazi

"Kuachama" ina maanisha kukazia macho katika mshangao na mdomo ulioachama.