sw_tn/job/15/34.md

991 B

Kwa maana msaada wa watu wasiomcha Mungu

"kundi la watu wasiomcha Mungu"

moto utateketeza hema za rushwa.

Tungo "hema ya wala rushwa" ina maanisha kuwa watu waovu walizinunua hema hizi kwa pesa walizozipata kwa njia ya rushwa. "hema walizozinunua kwa rushwa zao, zitachomwa kwa moto"

Wao wanabeba mimba yenye ubaya na kuzaa uovu; tumbo lao hutunga mimba ya udanganifu.

Wazo hilihilo limerudiwa mara tatu kutoa msisitizo kwa kiwango gani watu hawa huzalisha waovu. Sentensi hii inamzungumzia mtu ambaye anapanga kufanya vitu viovu, na wanavifanya kama vile mtu aliyekuwa akibeba mimba na kuzaa vitu hivi kama vile mwanamke anavyotunga mimba na kuzaa mtoto. "Wao wanapanga kusababisha mambo maovu ya kitoto na kufanya vitu viovu; daima wao wanapanga kuwadanganya wengine"

tumbo lao hutunga mimba

Katika sentensi hii neno "tumbo" limetumika kumaanisha mtu na kusisitiza kuhusu kutunga mimba, kama ilivyo katika tumbo ambalo utungaji mimba hufanyika humo. "wao wanatunga mimba"