sw_tn/job/15/31.md

1.1 KiB

upuuzi utakuwa mshahara wake yeye.

"kwa maana kama yeye ataweka tumaini katika hvitu , upuuzi utakuwa ujira wake yeye"

tawi lake halitakuwa kijani.

Sentensi hii inazungumzia kuhusu mtu kuonekana tofauti na mfu kama vile ilivyokuwa ghala iliyokauka au tawi. " yeye ataonekana mfu, kama vile tawi la mti uliokufa lisivyoonekana kibichi"

Yeye atazipukutisha... yeye atayaondoa

Mistari hii miwili inatoa picha moja ambayo imerudiwa kusisitiza kuwa jambo hili litatokea kwa hakika.

Yeye atazipukutisha zabibu zake zisizovunwa kama kama mti wa mzabibu

Sentensi hii inazungumza juu ya mtu mwovu kuwa dahifu na kufa kama vile alikuwa mti wa mzabibu ukidondosha zabibu ambazo bado kuvunwa. "Kama vile mti wa mzabibu unavyoangushusha zabibu zake ambazo bado kuvunwa, viyo hivyo mtu mwovu atadondosha nguvu zake"

yeye atayaondoa maua yake kama mti wa mzeituni.

Sentensi hii inazungumza juu ya mtu mwovu kuwa dhaifu na kufa kama vile alikuwa mti wa mzabibu ukidondosha zabibu ambazo bado kuvunwa. "Kama vile mti wa mzabibu unavyoangusha zabibu zake ambazo bado kuvunwa, viyo hivyo mtu mwovu atadondosha nguvu zake"