sw_tn/job/15/29.md

813 B

Yeye hatakuwa tajiri; utajiri wake yeye hautadumu

"yeye atakuwa masikini, fedha zake zote hazitaonekana"

hata kivuli chake hakitadumu katika nchi.

Sentensi hii inarudia wazo ambalo ni kwamba mali zote za mtu mwovu hazitaonekana."

nje ya giza;

Giza katika sentensi hii linamaanisha kifo. "nje ya giz la kifo"

mwali wa moto utakausha matawi yake;

Katika sentensi hii "mwali wa moto" unawakilisha hukumu ya Mungu na kukauka kwa ghala zake yeye kunawakilisha ukweli kwamba mali zake yeye kupotelea mbali, au kwamba yeye atakufa" Mungu atakitupilia mbali kila kitu ambacho yeye anachokimiliki" kama moto ukaushavyo majani ya mti mbichi"

pumzi ya kinywa cha Mungu

"Pumzi ya Mungu" inawakilisha hukumu yake yeye.

yeye ataenda zake.

Sentensi hii inamaanisha yeye mwenyewe kufa. "yeye atakufa"