sw_tn/job/15/27.md

487 B

Hii ni kweli,

Sentensi hii inamaanisha mtu mwovu kukimbia kwa Mungu kama ilivyoelezwa kutoka katika mistari iliyotangulia.

yeye amefunika uso wake kwa mafuta yake na amekusanya mafuta juu ya viuno vyake

Mtu huyu mwovu ameelezwa kama mtu mnene kna dhaifu wakati akijiamini mwenyewe kuwa ni mwenye nguvu vya kutosha kumshinda Mungu. "yeye ni dhaifu na uso mnene na viono vilivyowanda.

hakuna mwanadamu anayeishi humo

"ambazo zimetelekezwa"

magofu.

"mabaki" au "majalala"