sw_tn/job/15/22.md

1.1 KiB

Sentensi Unganishi:

Elifazi anaendelea kumwelezea mtu ambaye ni mwovu anaanza kuelezea katika 15:19.

rudi kutoka katika giza;

Katika sentensi hii "giza" ni tashbiha kuonyesha mahangaiko au mambo mabaya" "epuka mambo mabaya"

Upanga humngojea yeye

katika tungo hii neno " upanga" inawakilisha adui ambaye anangojea kumuua mtu mwovu. Maana zaweza kuwa 1) yeye amehofu kwamba mtu fulani atamchinja yeye" "yeye anahofia kwamba mtu fulani yuko karibu kumwua yeye" au 2) ni dhahiri kwamba yeye anaenda kuuawa. "mtu fulani anamngojea kumtoa uhai"

kwa ajili ya mkate

Sehemu hii "mkate" unamaanisha chakula kwa ujumla" "kwa chakila"

siku ya giza

Hii ni nahau. "siku ya uharibifu" au "kipindi cha kifo chake"

iko mkononi.

Hii ni nahau. "inakuja hivi karibuni"

hushinda dhidi yake yeye,

"zidi nguvu" au "shinda"

kama mfalme tayari kwa vita.

Hii inaliganisha jinsi ukiwa wake na mateso yake makali kumshinda yeye kwa jinsi mfalme ambaye yuko tayari kwa vita, angeshinda dhidi yake. "kama ilivyo kwa mfalme , aliye tayari kwa vita, angeshinda dhidi yake yeye"