sw_tn/job/15/15.md

855 B

Tazama

Neno hili limetumika kuvuta usikivu wa Ayubu kwa kile ambacho kimezungumzwa hapo baadaye.

mmoja wake aliye mtakatifu;

"malaika wake yeye"

safi

mtu ambaye Mungu humfikiria kuwa kiroho amekubalika amezungumzwa kama mtu ambaye kimwili alikuwa safi.

machoni pake yeye;

Hapa machoni pake inawakilisha hukumu au tathimini.

mbaya na mla rushwa,

Maneno haya mawili kimsingi yanamaanisha kitu kilekile na linatia mkazo jinsi gani watu walivyo waovu.

ambaye hunywa uovu kama maji!

Sentensi hii inaelezea uovu kama vile ulikuwa maji unayokunywa. Inalinganisha mtu mwovu hutamani kutenda dhambi kwa vile jinsi gani yeye anavyokuwa na shauku ya kunywa maji ya uvuguvugu. "wao wapendao uovu ni zaidi kama vile wanapenda kikombe cha maji ya baridi" au "wao ambao ni kawaida yao kutenda matendo maovu kama wanavyokunywa maji ya baridi"