sw_tn/job/15/10.md

893 B

Pamoja nasi wapo pia wenye mvi na watu wazee sana

wnye mvi na wazee sana- Elifazi anajiongelea yeye mwenyewe na watu wengine kuwa na hekima ya wazee ambao kwao walijifunza kana kwamba walikuwa pamoja nao katika mwili."Sisi tumepata hekima kutoka pia kwa watu wenye mvi na watu wazee sana"

wenye mvi na watu wazee sana ambao ni wazee

wenye mvi na watu wazeesana-tungo "wenye mvini ufafanuzi wakibinadamu "kwa watu ambao wamezeeka sana" "watu waliozeeka sana wana mvi"

wazee zaidi kuliko baba yako

Hii ni lugha ya kukuza jambo. "mzee kuliko baba yako"

faraja ya Mungu...ni ya upole dhidi yako wewe?

Hili ni swali la uzushi na kejeli ni shitaka lenye tumaini la jibu la "ndiyo"." Swali hili laweza kuweka katika hali isiyo ya kuuliza: Wewe ni sharti ufikiri kwamba faraja za Mungu ni ndogo mno kwako, maneno ambayo ni ya upole kwako.

faraja

"kufariji" au "kuchukuliana"