sw_tn/job/15/04.md

1.3 KiB

fifisha

"haribu" au " kutostahilisha"

zuia

"fifisha" au "ondolea mbali"

heshima ya

"tafakari juu ya" au " fikiri juu ya"

uovu wako hufundisha midomo yako;

Sentensi hii yaweza kutafsiriwa hivi: "uovu"kama ulikuwa mwalimu wa midomo ya Ayubu umeelezwa kuwa kama vile midomo inajifunza. Hii ina maana kwamba usemi wake umeathiriwa na uovu wake kwa kiwango kikubwa. "uovu wako ni kama mwalimu na mdomo wako ni kama mwalimu" au " hii ni kwa sababu ya wewe kutenda dhambi kwamba unaongea kama vile wewe unavyofanya"

Mdomo wako

Mstari huu unamzungumzia Ayubu, lakini unarejea kwa "mdomo" wake kutilia mkazo kile anachokisema. "wewe pia wazungumza" au "wewe wasema kile ambacho wewe wasema"

kuwa na ulimi wa mtu mwenye hila

Sentensi hii inarejea jinsi mtu mwenye hila huzungumza kama "ulimi" wake. "kuzungumza katika njia ya mtu mwenye hila"

hila

"udanganyifu"

Mdomo wako mwenyewe hukukukumu wewe, siyo wangu;

Maneno haya yanamwelekea Ayubu na Elifazi kwa "midomo" yao kutilia mkazo kwa kile wanachosema. "Wewe umelaaniwa kwa kile ambacho unakisema, siyo kwa kile ambacho mimi ninachokisema, siyo mimi ninayekulaani wewe"

midomo yako mwenyewe hushuhudia

Ni "midomo" ya Ayubu kuweka msisitizo kwa kile ambacho anakisema. "maneno yako mwenyewe" au "wewe washuhudia"