sw_tn/job/13/26.md

1.9 KiB

Habari za Jumla:

Ayubu anamaliza kutoa hoja yake kwa Mungu.

Kwa maana wewe unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi;

"Vitu vichungu" vinawakilisha mashitaka. " wewe waandika chini mashitaka dhidi yangu"

wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.

maanza zaweza kuwa 1) kuwa mwenye hatia kwa dhambi za ujana wangu au 2) Kuwa ameadhibiwa kwa dhabi za ujana wake. "wewe waniadhibu mimi kwa dhambi za ujana wangu"

uovu wa ujana wangu.

kielezi cha jina "ujana" kinawezakutafsiriwa pamoja na neno" kijana." "Dhambi ambazo mimi nilitenda wakati nilipokuwa kijana"

Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba

Kufanya hivi kunawakilisha kumwadhibu Ayubu na kumzuia kuishi kwa uhuru kama vile Ayubu ametenda kosa la kihalifu na alikuwa mfungwa. " Ni kama vile wewe unaniweka miguu yangu katika gunia."

nguo nyembamba

Ni kitu ambacho huzuia miguu ya mfungwa kwamba hawezi kabisa kujongea hata kidogo. au ni mnyororo kuzunguka miguu ya mfungwa ambayo humfanya atembee kwa shida. Hivi vimetumika kama ishara ya hukumu.

wewe waangalia njia zangu zote;

Njia huwakilisha vitu ambavyo Ayubu hufanya. " kila kitu ninachokifanya"

wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.

Nyayo za miguu yake vinawakilisha mtu anyetembea " wew wachunguza chini mahali ambapo nimekanyaga"

wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.

Kuchunguza hapa chini kunawakilisha kuchunguza yote ambayo Ayubu amefayafanya. "Ni kama vile ingawa wewe unachunguza chini mahali ambapo nimetembea" au Wewe wachunguza kila kitu inachokifanya kama mtu anavyochunguza nyayo za mtu alizokanyaga chini ya ardhi"

kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali,

Ayubu analinganisha maisha yake kama kitu kile ambacho kinaoza. Yeye anakufa pole pole.

kama vazi lile ambalo nondo wamelila.

Ayubu anajilinganisha yeye mwenyewe na nguo iliyotoboka toboka kwa sababu nondo wa wamelila sehemu zake.