sw_tn/job/13/11.md

1.3 KiB

Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?

Ayubu anatumia swali hili kuwakemea rafiki zake: Sentensi hii yaweza kutafsiriwa hivi: 1) Ayubu anasema kuwa wanapaswa kumhofu Mungu " Ukuu wake unapaswa kuwafanya ninyi muogope, na ukuu wake unapaswa kushuka juu yenu" au 2) Ayubu anasema kwamba wao watamhofu Mungu." Ukuu wake utawafanya ninyi muogope na utisho wake utashuka juu yenu"

Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?

Utisho wake kushuka juu ya watu inawakilisha wao kuogopa sana "Ninyi hamtaogopeshwa sana" au " Ninyi hamtaogoa sana?

Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu;

Majivu yanawakilisha vitu ambavyo havina thamani na havidumu. "Hadidhi zenu hazina thamani kama majivu" au "Misemo yenu ya kukariri itasahaulika kama majivu yaliyomwagwa mbali"

utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.

Ayubu anazungumza kile ambacho wanasema kama vile kilikuwa kama ukuta kuzungumza mji uliotengenezwa kwa majivu; Hauwezi kuwalinda watu kwa sababu udongo wa mfinyanzi huvunjika kirahisi."Ninyi mnasema nini katika utetezi kama vile ni upuuzi kama ukuta wa udongo wa mfinyanzi.

utetezi wenu

Hii inamaanisha kwa kile wanachokisema kujitetea wao wenyewe. au 2) kile wanachokisema kumtetea Mungu.