sw_tn/job/13/09.md

961 B

Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi

"Kuwathibitisha ninyi" ni tashbiha inayomaanisha " jitathimini ninyi" Ayubu anatumia swali hili kuwatahadharisha rafiki zake kuwa ikiwa Mungu angewatathimini wao, yeye angesema kwamba matendo yao ni mabaya. "Kama Mungu angewatathimini ninyi, isingekuwa vyema kwenu"

Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?

Ayubu anatumia swali hili kuwaonya rafiki zake kuwa Mungu anaujua ukweli kuhusu wao. "Ninyi mngeweza kuwadanganya wanadamu, lakini ninyi hamuwezi kumdanganya Mungu"

mjithibitisha ninyi

"mjisahihisha ninyi"

ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.

Kuonyesha kutokukamilika inamaanisha kusema tu mambo mazuri ili kwamba hakimu atasema kwamba mtu yule ni mwema. Kufanya hivi kwa siri inamaanisha kujifanya kuzungumza kwa haki, lakini kiukweli kumpendelea mtu mmoja dhidi ya mwingine. "kama ninyi mnaonyesha upendeleo kwa siri kwa mwingine"