sw_tn/job/13/06.md

958 B

Sentensi Unganishi:

Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.

Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe

Hapa neno "midomo" linawakilisha mtu anayezungumza. "sikiliza kile ambacho mimi mwenyewe nikusihi"

Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye?

Ayubu anatumia maswali haya mawili kuwakemea rafiki zake kwa kuzungumza visivyo haki. "Ninyi mnafikiri kwamba mnazungumza kwa Mungu, lakini mnazungumza visivyo haki." Ninyi mnazungumza udanganyifu"

mtazungumza udanganyifu

"uongo", sema "uongo"

Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?

Kuonyesha upole kwa Mugnu kunawakilisha kumsaidia Mungu au kumtetea Mungu dhidi ya malalamiko ya Ayubu. Ayubu anatumia maswali haya mawili kuwakemea rafiki zake kwa kufikiri kwamba wanaweza kumtetea Mungu. " Ninyi mnafikiri kuwa mnaweza kumtetea Mungu. Ninyi mnafikiri mnaweza kutetea kama mawakili wa Mungu katika mahakama"