sw_tn/job/13/03.md

1.1 KiB

Mimi natamani kusemezana na Mungu.

Rafiki za Ayubu wanamhukumu yeye, lakini hawazungumzi ukweli. Ayubu zaidi angehojiana na Mungu kuhusu malalamiko yake .

ninyi mnauficha ukweli kwa uongo;

Kuweka uongo au kuufunika uongo inawakilisha kuupuuza ukweli. "ninyi mnauficha ukweli kwa uongo" au " niniyi mnadanganya na kuupuuza ukweli"

ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani

Kuwa tabibu inawakilisha kuwa mtu ambaye huwafariji wengine. Kuwa asiye na thamani ina maanisha kwamba wao hawafahamu jinsi ya kufanya kile wanachopaswa. "Ninyi nyote ni kama tabibu ambao hawajui kuwaponya watu" au " ninyi nyote mnakuja kunifariji mimi, lakini hamtambui jinsi ya kufanya, kama tabibu asiyekuwa na weledi"

shikilieni amani yenu!

Inamaanisha: "nyamazeni "au acheni kuzungumza"

Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.

Walidhani kuwa walikuwa wanasema vitu vya busara lakini Ayubu alikuwa anasema kwamba wanapaswa kuwa wenye busara kama wangeacha kuzungumza. Kielezi cha jina "hekima" Chaweza kuelezwa na neno "busara" "kama niniyi mngefanya hivyo, ninyi mngekuwa wenye busara" au " kama ninyi mngeacha kuzungumza, niniyi mngeonekana wenye busara"