sw_tn/job/12/13.md

1.1 KiB

habari za Jumla:

Mstai wa 13 unasema kuwa Mungu ni mwenye hekima na mkuu. Mwisho wa sura hii inaonyesha kuwa hii ni kweli kwa kuzungumza kuhusu mwenye hekima na vitu vikuu ambavyo Mungu hufanya.

Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu

Kivumishi cha jina "hekima" na" ukuu" vyaweza kuelezwa na kivumishi "busara" na "ukuu Mungu ni mwenye hekima na "ukuu"

Tazama

Neno hili linamkumbusha Ayubu wakati Ayubu alipohitaji msikilizaji kuwa na mwitikio maalumu.

haiwezekani kujengwa tena;

Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "Hakuna awezaye kujenga tena"

kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa

Kama Mungu akimfunga mtu yeyote, hakuna awezaye kumfungua yeye."

kama yeye akiyazuia maji, yanakauka

Maana zaweza kuwa: 1)kuizuia mvua isinye. "kama akiizuia mcvua isinyeshe ardhi hukauka" au 2) kuzuia maji yasitiririke . " "kama yeye akiyazuia maji yasitiririke, ardhi hukauka"

kama akiyaachilia nje yanaitaabisha nchi

Maana zaweza kuwa: 1)kufanya mvua inyeshe) 2"kama akaiifanya mvua kubwa kunyesha, huigharikisha nchi" au" kuyafanya maji yafurike "kama akiyafanya maji mengi kufurika, huigharikisha nchi"