sw_tn/job/12/11.md

897 B

Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?

Ayubu anatumia swali hili kusisitiza kuwa watu husikiliza kile ambacho watu husema na kuhukumu ikiwa ni vizuri au hapana. Sikio na kaakaa ni mfano wa kusikia na kuonja. " Huwa tunasikia kile ambacho watu husema na kukionja kama vile tunavoonja chakula"

Kwa wazee mna hekima;

"Watu wazee wana hekima" kivumishi cha jina "hekima" chaweza kuelezwa pamoja na "ufahamu." Neno "watu" linamaanisha watu wote kwa ujumla. "watu wazee ni wenye hekima"

katika wingi wa siku mna ufahamu.

Tungo "wingi wa siku" ni kuonyesha kuishi kwa muda mrefu.Ufahamu uko katika wingi wa siku kuwakilisha watu kupata ufahamu wakati wanapoishi muda mrefu. Kivumishi cha jina "ufahamu" kinaweza kuelezwa na tungo "ufahamu mwingi" "Watu hupata ufahamu mwingi wakati wanapoishi muda mrefu" au " Watu ambao huishi muda mrefu hufahamu mengi"