sw_tn/job/11/04.md

1.0 KiB

Imani yangu ni safi,

"Ufahamu wangu ni sahihi"

Mimi sina waa lolote machoni pako.'

Macho yanawakilisha kuona , ni tashbiha ya tathimini juu ya Mungu kwa Ayubu. Maana zaweza kuwa 1) Ayubu anasema kwamba Mungu amemhukumu yeye kama asiye na hatia" au 2) kwamba Ayubu anaamini yeye amekuwa asiye na hatia na kwamba Mungu anapaswa kumhukumu yeye kama mwenye hatia. "Mnapaswa kutambua kwamba mimi sina hatia."

laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;

Maneno "kufungua midomo yake" ni ishara ambayo inamaanisha zungumza. Sentensi hizi mbili zinamaanisha kitu kilekile zimetumika pamoja kusisitiza shauku ya Sofari kuwa Mungu angezungumza kwa kumuumiza Ayubu.

hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima1

Ni nini "siri za hekima". Zinaweza kuelezwa wazi hivi: "kwamba yeye angekuonyesha wewe kuwa wewe unateseka kwa sababu ya dhambi yako"

Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.

Kutaka kutoka kwa Ayubu inawakilisha kuadhibiwa kwa Ayubu. "Mungu anakuadhibu wewe kidogo kuliko wewe unavyostahili"