sw_tn/job/11/01.md

967 B

Sofari Mnaamathi

Sofari kutoka sehemu ya Naamathi

Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa?

Sofari anauliza swali kinyume chake kusisitiza kuwa maneno ya Ayubu lazima yakosolewe."Ni lazima tuyajibu maneno haya yote" au "Mtu yeyote angeyajibu mameno haya yote"

Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?

Sofari anatumia swali hili kusisitiza kuwa hawapaswi kuamini kile ambacho Ayubu anachosema. "Mtu huyu amejaa maneno mengi , lakini yeye watu hawapaswi kumwamini" au " Maneno yako mengi peke yake hayamaanishi huna hatia."

Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? "Umeyadharau mafundisho yetu.Sasa tutakufanya wewe ujisikie mweye aibu!

Sofari anatumia swali hili kumkemea Ayubu."Kwa sababu wewe umeongea maneno mengi, hii haimaanishi kuwa wengine lazima wabaki wamenyamaza."

Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?

Sofari anatumia swali hili kumkemea Ayubu "