sw_tn/job/09/27.md

1.1 KiB

mimi nitasahau kuhusu manung'uniko yangu

Jina la kufikirika "nung'uniko" linaweza kutafasiriwa kama kitenzi "lalamiko." "Mimi nitaacha kulalamika" au "Mimi nitaacha kulalamika dhidi ya Mungu"

manung'uniko yangu

habari zilizo husika zinaweza kuongezwa. "malalamiko yangu dhidi ya Mungu"

nitaacha kuonyesha sura ya huzuni na kuwa na furaha

Sura yenye huzuni ya Ayubu inaongelewa hapa kana kwamba kitu fulani ambacho kinaweza kuondolewa. "Mimi nitaacha kuonekana mwenye huzuni na kutabasamu"

Mimi nitaziogopa huzuni zangu zote

Mstari wa 28 na 29 zinaelezea matokeo kama Ayubu atafanya yale anayosema katika mstari 27. "Tena mimi nitaogopa kwa ajili ya huzuni zangu"

huzuni zangu zote

Jina la kufikirika "huzuni" linaweza kuonyeshwa kama kitenzi. "nini kitanidhuru"

Nitahukumiwa

"Mimi nitashitakiwa na kuadhibiwa." Hili linaweza kusemwa katika sura ya kutenda. "Mungu atanihukumu"

kwa nini, basi, nitaabike bure?

Ayubu anatumia swali hili kusisitiza kwamba yeye hafikirii kama kuna maana yoyote kujaribu kuupata usikivu wa Mungu. Taarifa za kuashiria kuhusu kile Ayubu anajaribu zinaweza kufanywa wazi. "Haina maana kujaribu kuupata usikivu wa Mungu"