sw_tn/job/08/19.md

721 B

furaha

zawadi, ni matokeo ya tabia ya uovu ya mtu ambayo Bildadi kwa dharau anaitamka kama 'furaha.'

tabia

"matendo" au "namna ya maisha"

mimea mingine itachipuka toka katika udongo ule ule mahali pake

Hapa mwandishi anaendelea na sitiari kutoka 8:16.Watu waovu wanalinganishwa na mimea ambayo huchukua sehemu ya kwanza ya ule ambao humea miongoni mwa mawe. "Wakati mtu muovu mmoja akifa, mwingine atachukua nafasi yake" au "kutoka kwenye udongo, mwingine utamea."

chupuka

"mea"

udongo ule ule

"ardhi ya mawe"

mahali pake

"katika sehemu ya mtu muovu"

wala hatawathibitisha watendao uovu.

"Mkono" ni mfano wa mwili mzima wa mtu. "hatawasaidia watenda maovu" au " hatawatia nguvu watenda mabaya"