sw_tn/job/08/13.md

692 B

Habari ya Jumla:

Mistari hii inaendeleza habari ya Bildadi. Katika mstari wa 14 - 15, mwandishi anatumia ulinganishaji, kuwasilisha wazo moja kwa kutumia taarifa mbili tofauti kusisitiza uharibifu wa wale ambao hawajayajenga maisha yao juu ya mafundisho ya wazazi wao.

Hivyo pia ni njia ya wote wamsahauo Mungu

"Kutembea kwenye njia" ni usemi wa kawaida ambao unahusu maisha ya mtu na uelekeo wake. Mara nyingi hii inahusiana na watu kama wanafuata njia ya Mungu au njia zao wenyewe.

matumaini yake ni dhaifu kama utando wa buibui

Hapa Bildadi analinganisha maisha ya waovu na utando wa buibui; nguvu kidogo itaharibu vyote.

atashikamana nayo

"yeye atajaribu kukisaidia hicho"