sw_tn/job/08/08.md

753 B

Habari ya Jumla:

Mwandishi anaendelea kutumia ulinganishaji katika kila mistari hii, kuwasilisha wazo moja akitumia taarifa mbili tofauti kusisitiza uwezo wa watu kujifunza kutoka kwa wazazi, waliopewa ufupi wa maisha na utayari wa wazazi kuwapa mafundisho.

utie bidii katika hayo mababu zetu waliyojifunza

"Jifunze kwa makini yale waliyoyangundua wazazi wetu" au "zingatia yale ambayo mababu zetu waliyojifunza"

siku zetu duniani ni kivuli

Katika hii tashbiha, maisha yanalinganishwa na giza; yote yanapita kwa haraka.

Je hawatakufunza wao na kukuambia? Je hawatatamka maneno yatokayo mioyoni mwao?

Bildadi anatoa maswali haya kumkaripia Ayubu. "Watakufundisha na kukuambia wewe, na kutokana na uelewa wao unaleta maneno ya kutia moyo."