sw_tn/job/08/01.md

737 B

Habari ya Jumla:

Katika kila mstari wa habari yake, Bildadi anawasilisha wazo moja akitumia taarifa mbili tofauti, moja kumkemea Ayubu na tena kumtetea Mungu.

Kisha Bildadi huyo Mshuhi akajibu

"Bildadi" ni jina la mtu ambaye mmoja wa kabila la Washuhi.

Kwa muda gani maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo wenye nguvu?

Bildadi analeta swali hili kumkaripia Ayubu kwa malalamiko yake kwa Mungu. Katika msemo huu, yote maneno ya Ayubu na upepo ni matupu na dhaifu. "Maneno ya mdomo wako ni upepo wenye nguvu."

Je Mungu hupotosha hukumu? Je Mwenyezi hupotosha haki?

Hapa mwandishi anatumia maswali mawili ya kejeri, ambayo Bildadi anayatumia kukaripia Ayubu. "Mungu hatendi yasiyo haki; Mwenyezi hashindwi kufanya mema."