sw_tn/job/07/21.md

529 B

Kwa nini hunisamehi makosa yangu na kuniondolea uovu wangu?

Hapa Ayubu analeta vishazi viwili tofauti ndani ya swali la kejeri kusisitiza matamanio yake kwamba Mungu atazisamehe dhambi zake. Yeye analeta swali hii kumkaripia Mungu kwa kumfanya ateseke. "Samehe makosa yangu na uniondolee uovu wangu."

Kwa nini wewe husamehi makosa yangu

"Kwa nini husamehi makosa yangu?"

niondolea

"ondoa"

sasa nitalala mavumbini

Kifungu "lala chini katika mavumbi" ni upole au njia ya upole ya kusema "kufa." "sasa mimi nitakufa"