sw_tn/job/07/01.md

1.1 KiB

Habari za Jumla:

Mwandishi anaendelea kutumia ulinganishaji katika kila mistari hii, kuwasilisha wazo moja akitumia taarifa mbili tofauti kusisitiza kwamba mateso ya mtu binafsi ni sehemu ya mateso ya watu wote ambayo watu wote huyapitia.

Je mtu hana kazi ngumu juu ya nchi?

Ayubu analeta swali hili kusisitiza ufahamu wake kwamba watu wote huyapitia mateso. "Je si kila mtu ana kazi ngumu katika nchi?" au "Kila mmoja ana kazi ngumu katika nchi"

Je siku zake si kama siku za mwajiriwa?

Ayubu anatoa swali hili kuunga mkono ufahamu wake kwamba watu wote hupambana katika maisha. "Na siku zake ni kama siku za mwajiriwa."

Kama mtumwa ... kama mwajiriwa

Ayubu anajilinganisha mwenyewe (mstari 3) na wale ambao hufanya kazi kwa bidii hawana msaada (mstari 2).

kivuli cha jioni

"giza"

mwajiriwa

Huyu ni mtu ambaye hufanya kazi kwa siku kwa muda na hulipwa kutwa ya kila siku. "kibaruwa"

hivyo nami nimeumbwa kuvumilia miezi ya taabu; Nami nimepewa taabu - zimeujaza usiku

kuujaza usiku- "kwa hiyo mimi nimevumilia miezi ya mateso na taabu-zimeujaza usiku"

miezi ya taabu

"miezi ya msiba" au "miezi ya kufirisika"