sw_tn/job/06/24.md

793 B

Nifundishe

Kitenzi "kufundisha" ipo katika sehemu ya nafsi ya pili wingi.

nami nitaishika amani yangu

" na mimi nitakuwa kimya"

nifanye nifahamu

"wewe umenifanya mimi nielewe." Kitenzi kipo katika sehemu ya nafsi ya pili wingi.

Jinsi gani maneno ya kweli yanavyo umiza

ULB na UDB zina maana zinazopingana kwa kifungu hiki. Hii ni kwasababu maana mbili zinazofaa kwa Kiebrania ni 1) Maneno ya kweli yanaumiza kuyasikia au 2) Maneno ya mtu mkweli hayaumizi kuyasikia.

Lakini hoja zenu, jee hasa zimenionya nini mimi?

Ayubu anatumia swali hili kuwa karipia rafiki zake na kusisitiza kwamba kile wanachosema hakimhusu. "Sababu zenu hazinihusu japokuwa mmenikosoa bila huruma."

hoja zenu

"Sababu zenu" au "madai yenu." "-ako, - enu" ipo katika sehemu ya nafsi ya pili wingi.