forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
643 B
Markdown
12 lines
643 B
Markdown
# Wewe utafika kaburini kwako mwenye umri kamili
|
|
|
|
"wewe utakufa katika umri wa uzee sana"
|
|
|
|
# kama vile rundo la mashuke ya nafaka ambalo limembebwa juu kupelekwa kwenye uwanja wa kupuria
|
|
|
|
Elifazi anatumia ulinganifu kutengeneza wazo lake kwamba Ayubu atakufa wakati muda wake wa kufa ukifika. "Kama tu nafaka zivunwavyo kwa wakati, hivyo wewe utakufa wakati wako ukifika."
|
|
|
|
# Tazama, tumelipeleleza jambo hili; ndivyo lilivyo; lisikie, na ulifahamu kwa ajili yako mwenyewe.
|
|
|
|
"Sisi" inamhusu rafiki zake Ayubu, akiwemo Elifazi, amabaye anazungumza. "Tazama, Sisi tumefikiri kuhusu jambo hili. Sikiliza kile ninsema na ufahamu kwamba ni kweli."
|