sw_tn/job/05/17.md

997 B

Habari za Jumla:

Mwandishi anaendelea kutumia ulinganishaji katika mstari wa 18 na 19, kuwasilisha wazo moja akitumia maelezo mawili tofauti kusisitiza matendo ya Mungu ya kuongoza na kuponya.

kutiwa adabu na Mungu ... uongozi wa Mwenyezi

Mungu ni mfano wa mzazi atiavyo adabu au aelekezavyo mtoto.

amebarikiwa

"umependelewa"

usidharau

"usikatae au " au "usiwangalie wasio na thamani"

uongozi

"mafunzo" au "ukusanyaji" au "adilisha"

Kwa kuwa yeye hujeruhi na kisha huuguza; yeye hutia jeraha na kisha mikono yake huponya

"kwa kuwa yeye hujeruhi lakini hufunga zaidi; yeye huangamiza lakini mikono yake huponya"

mikono yake huponya

Hapa "mikono yake" ni mfano wa Mungu.

Yeye atakuokoa na mateso sita; kweli, katika mateso saba, hakuna uovu utakao kugusa

matumizi ya ongezeko la hesabu kama vile "sita" na "saba" ni mfano wa wazo la wengi, mara nyingi. "Yeye atakuokoa kutoka katika taabu zaidi na zaidi; kwa kweli, muda baada ya muda, hakuna uovu utakao kugusa wewe"