sw_tn/job/05/11.md

1.1 KiB

Habari za Jumla:

Mwandishi anaendelea kutumia ulinganishaji katika kila mstari, kuwasilisha wazo moja akitumia maelezo mawili tofauti kusisitiza namna Mungu anavyo wainua wale ambao ni wanyonge na kuwashusha wale ambao ni werevu.

Hufanya haya kwaajili ya kuwainua juu hao walio chini

Watu wanyenyekevu wakati wa dhiki wanazungumziwa kana kwamba wako katika nafasi ya chini. Wakati Mungu akiwaokoa, wanapokea heshima. wakati hili likitendeka, wanazungumziwa kuwa kama wamepandishwa juu na kuweka katika nafasi ya juu. "Mungu hufanya hili ili kuwaokoa na kuwaheshimu wanyenyekevu ambao wamekuwa wakitaabika"

Yeye huharibu mipango

Hapa kuzuia mipango ya watu mwenye hila inazungumziwa kana kwamba ni vitu ambavyo vinaweza kuharibika kihalisia.

Yeye huwanasa watu wenye hekima katika matendo ya hila zao wenyewe

Hapa kuwafanya watu wenye hekima wataabike kwasababu ya matendo yao maovu inazungumziwa kana kwamba wamekamatwa katika mitego. Matendo yao wenyewe yanazungumziwa kana kwamba ni ile mitego.

watu waliogeuzwa

Hapa kuwa muovu kwa njia ya akili inazungumziwa kana kwamba umegeuzwa. "wale ambao ni werevu" au "wale ambao ni wajanja" au "wale ambao makini"