sw_tn/job/04/16.md

884 B

Habari za Jumla:

Mwandishi anatumia ulinganishaji katika mstari wa 17, kuwasilisha wazo moja akitumia maelezo mawili tofauti kutilia mkazo swali kuhusu utakatifu wa mwanadamu mbele za Mungu.

Umbo lilikuwa mbele ya macho yangu

"Kitu fulani kilikuwa mbele ya macho yangu," "nimeona kitu fulani"

nami nikasikia

"Kisha nikasikia"

Je binadamu mwenye kufa anaweza kuwa mwenye haki zaidi kuliko Mungu?

Elifazi anatoa swali hili ili kwamba Ayubu akumbuke, "Naweza kujiangalia mimi mwenyewe kama mwenye haki zaidi ya Mungu?" au "Je nimethibitika mbele za Mungu?" "Binadamu mwenye kufa hawezi kuwa mwenye haki zaidi ya Mungu" au "Binadamu mwenye kufa hawezi kuwa mwenye haki mbele za Mungu."

Je mtu anaweza kuwa msafi zaidi kuliko Muumba wake?

Swali hili lina lengo sawa kama swali lililotangulia. "Binadamu hawezi kuwa msafi zaidi kuliko Muumba wake."

Muumba

"Mfanyaji"