sw_tn/job/04/04.md

1.3 KiB

Habari za Jumla:

Mwandishi anatumia ulinganishaji katika kila mistari hii kutengeneza wazo moja akitumia habari mbili tofauti kusisitiza 1) kuunga mkono kwamba Ayubu aliwasaidia wengine siku zilizopita, 2) madhara juu yake kwa taabu zake za sasa, na 3) unyenyekevu wake mbele za Mungu.

yamemsaidia

mtu fulani ambaye alishawahi kutiwa moyo anazungumziwa kana kwamba yeye alishikwa asianguke chini.

umeyaimarisha magoti dhaifu

Hapa kukatisha tamaa kunazungumziwa kana kwamba ni mtu ambaye magoti dhaifu hayawezi kumweka yeye wima.

Lakini sasa matatizo yamekuja kwako

Hapa matatizo yanazumziwa kana kwamba ni jambo ambalo linaweza kumfika mtu. "Lakini sasa wewe unateseka na masaibu"

wewe umechoka

"umekata tamaa"

hofu yako

"ni kweli kwamba una mweshimu Mungu"

Je si hofu yako imani yako, na ukamilifu wa njia zako tumaini lako?

Elifazi anauliza maswali haya ili kutengeneza usemi kwa Ayubu kwamba dhambi zake zimemsababishia yeye kuteseka. "Kila mmoja anafikiri kwamba unamheshimu Mungu; kila mmoja anafikiri kwamba wewe ni mtu mwaminifu. Lakini mambo haya lazima hayawezi kuwa kweli, kwa sababu wewe humwamini Mungu tena."

hofu yako

Elifazi anamaanisha hofu ya Ayubu kwa Mungu. "hofu yako kwa Mungu"

njia zako

Hapa "njia zako" inawakilisha "mwenendo wako," "namna unavyoenenda."