sw_tn/job/04/01.md

883 B

Elifazi

Elifazi ni jina kiume.

Mtemani

Mtemani ni mtu wa kabila la Temani.

je utakosa ustahimilivu?

Elifazi anauliza swali hili ili kutengeneza maelezo. "wewe kweli utakosa uvumilivu."

je utakosa ustahimilivu?

"Hicho kitakukera wewe?"

ni nani anaweza kujizuia asizungumze?

Elifazi anauliza swali hili kusema kwamba hakuna mtu ambaye amuonaye rafiki yake anateseka akakaa kimya. "Hakuna mtu awezaye kujizuia mwenyewe kuongea (kwa rafiki yake katika hali hiyo kama uliyonayo wewe mwenyewe)" au "Mimi lazima nizungumze na wewe, (kwa kukuona kuwa upo katika hali ya majonzi)."

Tazama, wewe umewafunza wengi; wewe imeipa nguvu mikono iliyokuwa dhaifu.

Mstari huu unaeleza wazo moja katika njia mbili tofauti.

umeipa nguvu mikono iliyo dhaifu.

Hapa "mikono dhaifu" inawakilisha watu ambao wanahitaji msaada. "wewe uliwasaidia wengine wakati walipohitaji msaada"