sw_tn/job/03/08.md

1.3 KiB

hao wafahamuo namna ya kumuamsha lewiathan

Hapa huenda Ayubu anamaanisha wachawi na waganga, ambao yeye anawaamini wanaweza kuwa na uwezo wa kumchochea Lewiathani katika kueneza machafuko. Lewiathani alikuwa mnyama bora aliyejulikana wakati wa Kale Karibu Mashariki ya mithiolojia, ambaye alifikiri kuwa dhamana kwa aina zote za uharibifu, maradhi, na machafuko.

Nyota za mapambazuko yake zitiwe giza

Hii inahusiana na sayari ambayo mara kwa mara huonekana sawasawa kabla ya mapambazuko. "Inawezekana nyota ambazo huonekana kabla ya siku hiyo kwanza mwanga uwe giza"

Siku hiyo iutafute mwanga, lakini isiupate

Siku ya kuzaliwa kwake Ayubu inazungumziwa kana kwamba ni mtu anayetazama kitu. "Inawezekana siku hiyo ilitarajia mwanga, lakini haikuupata."

wala makope ya mapambazuko isiyaone

Mapambazuko yanazungumziwa kana kwamba yana kope kama alizonazo mtu. "wala kuona mwanga wa kwanza wa mapambazuko."

kwasababu haikuifunga milango ya tumbo la mama yangu

Tumbo la uzazi la mwanamke linazungumziwa kana kwamba ni chombo chenye milango. "kwasababu siku hiyo haikulifunga tumbo la uzazi la mama yangu"

kwasababu haikunifichia taabu machoni pangu.

Siku ya kuzaliwa kwake Ayubu inazungumziwa kana kwamba ni ni mtu ambaye anaweza kuficha kitu.

machoni pangu.

Hapa "macho" yanawakilisha mtu ambaye anaonana nao. "kutoka kwangu"