forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
478 B
Markdown
16 lines
478 B
Markdown
# Waseba
|
|
|
|
Hili lilikuwa eneo lililopo katika Yemeni ya siku hizi. Hapa linawakilisha kundi la wavamizi au wanyang'anyi kutoka Sheba.
|
|
|
|
# wakawaangukia
|
|
|
|
Hapa "kuangukia" inawakilisha wazo la shambulizi. "wakawashambulia"
|
|
|
|
# wamewaua
|
|
|
|
Hapa kushangaza inawakilisha mauaji.
|
|
|
|
# makali ya upanga
|
|
|
|
Hapa "mdomo" unawakilisha sehemu ya jambia ambayo huua watu, ambayo ni, labda ncha au ukingo mkali. Pia, majambia yote ya watu kutoka Seba yaliongea kama vile walikuwa na jambia moja tu.
|